![]() |
| Katibu wa Simba, Evodius Mtawala (kushoto) akiongozana na kocha mpya wa klabu hiyo, Patrcik Liewig baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere, Dar es Salaam mchana huu. |
![]() |
| Mtawala na Liewig |
![]() |
| Liewig, Mwenyekiti mpya wa Kamati ya Ufundi, Dani Manembe na Mtawala |
![]() |
| Anazungumza na Waandishi |
![]() |
| Anapanda kibasi |
![]() |
| Ndani ya kibasi |
![]() |
| Wanachama waliokuja kumlaki PIcha zote za http://bongostaz.blogspot.com |







No comments:
Post a Comment