|  | 
| Katibu wa Simba, Evodius Mtawala (kushoto) akiongozana na kocha mpya wa klabu hiyo, Patrcik Liewig baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere, Dar es Salaam mchana huu. | 
|  | 
| Mtawala na Liewig | 
|  | 
| Liewig, Mwenyekiti mpya wa Kamati ya Ufundi, Dani Manembe na Mtawala | 
|  | 
| Anazungumza na Waandishi | 
|  | 
| Anapanda kibasi | 
|  | 
| Ndani ya kibasi | 
|  | 
| Wanachama waliokuja kumlaki PIcha zote za http://bongostaz.blogspot.com | 
 
 
No comments:
Post a Comment