Monday, December 31, 2012

KOCHA MPYA MFARANSA MPYA WA SIMBA ATUA DAR

Katibu wa Simba, Evodius Mtawala (kushoto) akiongozana na kocha mpya wa klabu hiyo, Patrcik Liewig baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere, Dar es Salaam mchana huu. 

Mtawala na Liewig

Liewig, Mwenyekiti mpya wa Kamati ya Ufundi, Dani Manembe na Mtawala

Anazungumza na Waandishi

Anapanda kibasi

Ndani ya kibasi

Wanachama waliokuja kumlaki PIcha zote za http://bongostaz.blogspot.com

No comments:

Makamu wa Rais wa Zimbabwe akutana na CP Kaganda kuimarisha ushirikiano wa kidiplomasia.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Zimbabwe, Mhe. Kembo Mohadi, amekutana na Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini humo, Kamishna wa Po...