Brigitte
 Alfred Redds Miss Tanzania 2012 akiangalia faili lenye nyaraka muhimu 
za zawadi yake ya Gari baada ya kukabidhiwa  zawadi ya gari yake leo hii
 tarehe 10 Desemba 2012 na Katibu Mkuu wa Kamati ya Miss Tanzania, Bw. 
Bosco Majaliwa.  katika ofisi ya Lino International Agency Limited 
zilizopo Mikocheni jijini D’salaam.
Gari la Miss Tanzania aina ya Noah
Redds
 Miss Tanzania 2012 akifurahia zawadi yake ya gari mara baada ya 
kukabidhiwa katika ofisi za Lino International Agency Mikocheni  jijini 
leo.



 
 
1 comment:
a typical Tanzanian Company... poor publicity!! Inabidi wakuajiri Mzee ili wafahamu umuhimu wa tukio kama hilo..
Post a Comment