Saturday, December 01, 2012

TAASISI YA MBUNGE CATHERINE MAGIGE YATOA MSAADA KWA WALEMAVU

 
Mbunge wa viti maalum bi Catherine Magige akisomama taarifa ya Foundation yake ilivyoanza kazi mbele ya mgeni rasmi mkuu wa wilaya na wananchi waliohudhuria uzinduzi wa Catherine Foundation kwenye ofisi ya mkuu wa wilaya ya Arusha leo Asubuhi

 Mbunge wa viti maalum, Catherine Magige (katikati) akiwa na Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mjini ohn Mongela na wageni wengine meza kuu.
 Mkuu wa wilaya ya Arusha John Mongela akiwa na mbunge wa viti maalum bi Catherine Magige wakiwa wanawakabidhi zawadi ya baiskeli walemavu watatu kwa niaaba ya walemavu 20 walipewa zawadi hizo
 Mbunge wa viti maalum, Catherine Magige wakiwa wanawakabidhi zawadi ya baiskeli walemavu watatu kwa niaaba ya walemavu 20
Mkuu wa wilaya ya Arusha John Mongela akifanya mahojiano na vyombo vya habari mara baada ya kukamilika zoezi hilo. Picha na Mahmoud Ahma. 

No comments: