Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, William Lukuvi (kushoto) akizungumza na waandishi wa Habari katika eneo la wazi la ufukwe wa Bahari eneo la Masaki wakati wa ziara ya kutembelea wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam jana. katikati ni Afisa mipango miji, Lucy Kimon (katikati) akifuatiwa na Mkurugenzi mtendaji wa Baraza la uifadhi na usimamizi wa Mazingira-NEMC, Bonaventure Baya. Picha na Venance Nestory
Thursday, February 11, 2010
Ufukwe wa bahari Masaki wauzwa
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, William Lukuvi (kushoto) akizungumza na waandishi wa Habari katika eneo la wazi la ufukwe wa Bahari eneo la Masaki wakati wa ziara ya kutembelea wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam jana. katikati ni Afisa mipango miji, Lucy Kimon (katikati) akifuatiwa na Mkurugenzi mtendaji wa Baraza la uifadhi na usimamizi wa Mazingira-NEMC, Bonaventure Baya. Picha na Venance Nestory
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
🔴🔴TABORA ZOO YAENDELEA KUNG'ARA KAMA KITOVU CHA ELIMU, BURUDANI NA UTALII WA NDANI
Na Mwandishi wetu, Tabora. Bustani ya Wanyamapori Tabora (Tabora Zoo) imeendelea kujipambanua kama kivutio muhimu cha elimu na burudani jiji...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
(Picha na Yahya Charahani) Katika kijiji cha Mwanjoro, wilayani Meatu – Shinyanga, maisha bado yanapumulia kwenye nyumba za udongo na mapaa...
No comments:
Post a Comment