Thursday, February 11, 2010

Ufukwe wa bahari Masaki wauzwa



Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, William Lukuvi (kushoto) akizungumza na waandishi wa Habari katika eneo la wazi la ufukwe wa Bahari eneo la Masaki wakati wa ziara ya kutembelea wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam jana. katikati ni Afisa mipango miji, Lucy Kimon (katikati) akifuatiwa na Mkurugenzi mtendaji wa Baraza la uifadhi na usimamizi wa Mazingira-NEMC, Bonaventure Baya. Picha na Venance Nestory

No comments: