Thursday, February 11, 2010

Yatima wakabidhiwa misaada


Mkurugenzi wa Mikutano na Masoko wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC), Mkunde Senyagwa (kushoto) akikabidhi msaada wa vyakula na vifaa vya shule kwa Mwenyekiti wa Kituo cha Kulelea Watoto yatima cha Tumaini Positive, Emmanuel Ndolimana (kulia) ikiwa ni sehemu ya mpango wa AICC wa uwajibikaji kwa jamii. Makabidhiano hayo yalifanyika jana katika ofisi za kituo hicho cha yatima eneo la Kwangulelo, nje kidogo ya Mji wa Arusha. Waliosimama nyuma ni watoto wa kituo hicho na wafanyakazi wa AICC. (Picha kwa hisani ya AICC)

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...