Mkurugenzi wa Mikutano na Masoko wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC), Mkunde Senyagwa (kushoto) akikabidhi msaada wa vyakula na vifaa vya shule kwa Mwenyekiti wa Kituo cha Kulelea Watoto yatima cha Tumaini Positive, Emmanuel Ndolimana (kulia) ikiwa ni sehemu ya mpango wa AICC wa uwajibikaji kwa jamii. Makabidhiano hayo yalifanyika jana katika ofisi za kituo hicho cha yatima eneo la Kwangulelo, nje kidogo ya Mji wa Arusha. Waliosimama nyuma ni watoto wa kituo hicho na wafanyakazi wa AICC. (Picha kwa hisani ya AICC)
Thursday, February 11, 2010
Yatima wakabidhiwa misaada
Mkurugenzi wa Mikutano na Masoko wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC), Mkunde Senyagwa (kushoto) akikabidhi msaada wa vyakula na vifaa vya shule kwa Mwenyekiti wa Kituo cha Kulelea Watoto yatima cha Tumaini Positive, Emmanuel Ndolimana (kulia) ikiwa ni sehemu ya mpango wa AICC wa uwajibikaji kwa jamii. Makabidhiano hayo yalifanyika jana katika ofisi za kituo hicho cha yatima eneo la Kwangulelo, nje kidogo ya Mji wa Arusha. Waliosimama nyuma ni watoto wa kituo hicho na wafanyakazi wa AICC. (Picha kwa hisani ya AICC)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AMALIZA ZIARA YA SIKU MOJA MKOANI MBEYA
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), leo ameondoka Mkoani Mbeya baada ya kukamilisha zi...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
No comments:
Post a Comment