Thursday, February 25, 2010

Ngoma ya mganda

Mwalimu wa Sanaa katika shule ya Sekondari Makongo, Simon Mwaikono akiwaongoza wanafunzi wa shule hiyo kucheza ngoma ya mganda yenye asili ya Manda mkani Ruvuma wakati wa mahafali ya 11 ya kidato cha sita shuleni hapo. Picha na Michael Matemanga

1 comment:

Anonymous said...

Manda ni mkoani Iringa Wilaya ya Ludewa

RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI

  Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...