Sunday, February 28, 2010

Hitma ya mzee Kawawa



Rais Jakaya Mrisho Kikwete (katikati) akiwa kwenye hitma ya Marehemu Mzee Rashid Mfaume Kawawa leo jijini Dar es salaam , wengine ni Mtoto wa Marehemu Vita Kawawa(kulia) na kushoto ni Sheikh wa Mkoa wa Dar es salaam Mussa Salum.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisamiliana jana jijini Dar es salaam na Waziri wa Ardhi , Nyumba na Maendeleo ya Makazi Captain John Chiligati na Kingunge Ngombale Mwiru. Rais Kikwete alikutana na viongozi hao katika hitma ya Mzee Rashid Kawawa nyumbani kwake Madale jijini Dar es salaam leo.

No comments: