Friday, February 05, 2010

Umuhimu wa mambloga waanza kujionyesha Bongo


Wanalibeneke na vyeti vyao vya shukurani toka Serengeti ambao kwa mara ya kwanza wameonesha mfano wa kutambua umuhimu wa globu na kuwaenzi waendeshaji wake. Toka shoto ni Ankal wa Globu ya Jamii, John Bukuku wa Fullshangwe.blogspot, Geofrey Mwakibete wa Mohammeddewji.com, Muhidin Sufiani wa Sufianimafoto.blogspot.com na Michuzijunior wa Jiachie. Picha kwa hisani ya issamichuzi.blogspot.com

No comments:

RAIS SAMIA ATEMBELEA MABANDA YA MAONESHO YA NANENANE JIJINI DODOMA

Tarehe 8 Agosti 2025, viwanja vya Nzuguni Jijini Dodoma vilikua kitovu cha shughuli nyingi wakati wa Maonesho ya Kitaifa na Kimataifa ya Nan...