WATU 24 akiwamo dereva wa basi wamekufa papo hapo na wengine zaidi 30 kujeruhiwa baada ya mabasi mawili kugongana uso kwa uso katika ajali ilyotokea Kijiji cha Kitumbi Wilayani hapa katika barabara kuu ya Segera - Chalinze.
Kwa mujibu wa habari za awali zilizopatikana na kuthibitishwa na maafisa wa polisi waliokuwepo katika eneo la ajali ni kuwa ajali hiyo ilitokea jana saa 8.50 mchana.
Walioshuhudia ajali hiyo muda mfupi uliopita walisema kuwa ajali hiyo ilihusisha basi la Kampuni ya Chatco iliyokuwa ikitokea Arusha kuelekea Jijini Dar es saalam lililovaana uso kwa uso na basi la Kampuni ya Mzuri Transport ambalo lilikuwa likitokea Dar es Salaam kuelekea Lushoto Mkoa wa Tanga na kwamba walishuhudia maiti nyingi zikiwa zimebebwa ndani ya lori.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
(Picha na Yahya Charahani) Kwa wale waliokulia maeneo haya, hili ni jambo la kawaida ukitoka mjini, shambani sijui hadi wapi kote ni haya h...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment