Friday, February 19, 2010

Maandalizi ya Tanzania Kili Music Award 2010


Katibu Mtendaji wa baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), Gonche Materego(kulia) na meneja wa bia ya Kilimajaro George Kavishe wakiwa na baadhi ya wanamuziki mashuhuri wakati wa uzinduzi wa Tuzo ya mwanamuziki bora Tanzania (Tanzania Kili Music Award 2010) wa pili kushoto ni kushoto Ambwene Esaya ‘AY’, Nyoshi EL Sadaat, wa FM Internationale na Mzee Yusufu wa Jahazi, mara baada ya Katibu Mkuu huyo kuzindua tuzo hiyo Dar es Salaam jana. Picha na Emmanuel Herman

Katibu Mtendaji wa baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), Gonche Materego(kulia) na meneja wa bia ya Kilimajaro George Kavishe, wakizidua rasmi tuzo ya mwanamuziki bora Tanzania (Tanzania Kili Music Award 2010) Dar es Salaam jana. Picha na Emmanuel Herman.


Kiongozi wa bendi ya FM Internationale Nyoshi EL Sadaat, akitoa mawazo yake wakati wa utafutaji mawazo ya uboresha wa tuzo ya mwanamuziki bora Tanzania (Tanzania Kili Music Award 2010), iliyozinduliwa rasmi Dar es Salaam, jana. Picha na Emmanuel Herman

No comments:

RAIS SAMIA AZINDUA TUME YA UCHUNGUZI KWA AJILI YA KUIMARISHA AMANI, HAKI NA UWAJIBIKAJI

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Wajumbe wa Tume ya Rais ya Uchunguzi wa Wahusi...