Sunday, February 28, 2010

Maziko ya Balozi Mwakawago


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi CUF Seif Shariff Hamad wakati wa mazishi ya mwanasiasa mkongwe na mwanadiplomasia Marehemu Balozi Daudi Mwakawago yaliyofanyika katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam leo jioni.Katikati ni Rais Mstaafu awamu ya Tatu Benjamin Wiliam Mkapa.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka udongo katika kaburi la Marehemu Balozi Daudi Mwakawago wakati wa mazishi ya Mwanasiasa huyo mkongwe yaliyofanyika katika makaburi ya kisutu jijini Dar es Salaam leo jioni(picha kwa hisani ya Freddy Maro)

No comments: