Wednesday, February 10, 2010

Kikwete mazishini kwa Mnikulu


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka mchanga katika kaburi la aliyekuwa mnikulu marehemu Rajabu Kianda, huko Kihurio Same Mkoa wa Kilimanjaro jana mchana.Marehemu Rajabu Kianda alifariki jumapili iliyopita jijini Dar es Salaam baada ya kuugua shinikizo la damu na kupata kiharusi (picha na Freddy Maro)

Rais Jakaya Mrisho Kikwete(watatu kushoto) akiwa na waumini wengine wakiuombea mwili wa marehemu RaJABU Kianda aliyekuwa mnikulu muda mfupi kabla ya mazishi yake huko Kihurio Same Mkoa wa Kilimanjaro jana mchana.

Baadhi ya waombolezaji wakiwa nyumbani kwa Marehemu Rajabu Kianda aliyekuwa mnikulu huko Kihurio Same Mkoa wa Kilimanjaro.

No comments:

RAIS SAMIA AZINDUA TUME YA UCHUNGUZI KWA AJILI YA KUIMARISHA AMANI, HAKI NA UWAJIBIKAJI

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Wajumbe wa Tume ya Rais ya Uchunguzi wa Wahusi...