Sunday, February 07, 2010

Aliyeongoza kidato cha nne


Mwanafunzi wa St Marian iliyopo Bagamoyo mkoani Pwani, Immaculate Mosha aliyeibuka mshindi wa kwanza wa kidato cha nne mwaka huu, mwenye blauzi ya rangi ya khaki kwa mbali kama nyeupe, akifurahia ushindi wake na ndugu zake nyumbani kwa kaka yake Mwenge, jijini Dar es Salaam jana. Picha na Salhim Shao.

No comments:

RAIS SAMIA AKUTANA NA WAZEE WA MIKOA YOTE NCHINI, AFUNGUA UKURASA MPYA WA MAZUNGUMZO YA KITAIFA

  Dodoma, Agosti 27, 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amekutana na wazee wa Mkoa wa Dodoma pam...