Sunday, February 07, 2010

Aliyeongoza kidato cha nne


Mwanafunzi wa St Marian iliyopo Bagamoyo mkoani Pwani, Immaculate Mosha aliyeibuka mshindi wa kwanza wa kidato cha nne mwaka huu, mwenye blauzi ya rangi ya khaki kwa mbali kama nyeupe, akifurahia ushindi wake na ndugu zake nyumbani kwa kaka yake Mwenge, jijini Dar es Salaam jana. Picha na Salhim Shao.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...