Thursday, February 04, 2010

Jeshi si mchezo


Mkuu wa kikosi cha JKT Mlale Meja Ahmed Ahmed akimtambulisha mkuu wa gwaride la wahitimu wa mafunzo ya awali ya kijeshi operesheni kilimo kwanza Meja Ally Aniu kwa mkuu wa mkoa wa Ruvuma Dk Christine Ishengoma mara baada ya kumaliza kukagua gwaride hilo jana chini ni wahitimu wa mafunzo hayo. Imeandikwa na Joyce Joliga.

No comments:

TANZANIA YAUNGA MKONO MABADILIKO YA MFUMO WA AFYA DUNIANI

Na Hassan Kimweri, WAF - Addis Ababa Tanzania imeunga mkono juhudi za kuimarisha Shirika la Afya Duniani (WHO) kupitia maboresho ya Muundo w...