Thursday, February 25, 2010

Rais arejea home



Rais Kikwete akimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam jana katika Uwanja wa Ndege wa Kimatifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere mara baada ya kuwasili kutoka nje ya nchi ambapo alikuwa katika ziara ya kikazi. Mwingine katika Picha ni Kingunge Ngombale Mwiru.
Picha na Tiganya Vincent-MAELEZO.

No comments:

RAIS SAMIA APONGEZA MPANGO WA HEIDELBERG MATERIALS KUPANUA UWEKEZAJI NCHINI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amepokea ujumbe wa Kampuni ya Heidelberg Materials, wazalishaj...