Sunday, February 07, 2010

Mizengo ndani ya magwanda ya CCM



Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwapungia wananchi wa Mpwapwa baada ya kuhutubia mkutubia katika sherehe za miaka 33 ya CCM mkoa wa Dodoma zilizofanyika kimkoa kwnye uwanja wa michezo wa Mpwapwa. Kulia ni Mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa Dodoma na Mbunge wa Bahi, William Kusila.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mtoto Hussein ambaye kichwa chake ni kikubwa kiasi cha kumfanya ashindwe kutembea vizuri katika sherehe za miaka 33 ya CCM mkoa wa Dodoma zilizofanyika kimkoa kwenye uwanja wa michezo wa Mpwapwa Februari 6, 2010. Kushoto kwake ni Mkuu wa MKoa wa Dodoma, Dr. James Msekella.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

SERIKALI NA WAWEKEZAJI & WATOA HUDUMA MIGODINI WAJADILI CHANGAMOTO NA MAFANIKIO KWENYE SEKTA YA MADINI

▪️Rais Samia apongezwa kwa mazingira rafiki ya uwekezaji ▪️ Wadau wapongeza hatua za serikali za kutatua changamoto ▪️Waziri Mavunde awataka...