Sunday, February 07, 2010

Mizengo ndani ya magwanda ya CCM



Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwapungia wananchi wa Mpwapwa baada ya kuhutubia mkutubia katika sherehe za miaka 33 ya CCM mkoa wa Dodoma zilizofanyika kimkoa kwnye uwanja wa michezo wa Mpwapwa. Kulia ni Mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa Dodoma na Mbunge wa Bahi, William Kusila.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mtoto Hussein ambaye kichwa chake ni kikubwa kiasi cha kumfanya ashindwe kutembea vizuri katika sherehe za miaka 33 ya CCM mkoa wa Dodoma zilizofanyika kimkoa kwenye uwanja wa michezo wa Mpwapwa Februari 6, 2010. Kushoto kwake ni Mkuu wa MKoa wa Dodoma, Dr. James Msekella.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

NHC YATOA ELIMU YA HATI PACHA, YASISITIZA UMOJA WA WAMILIKI SAMIA HOUSING SCHEME KAWE

 Samia Housing Scheme Kawe: nyumba 560, familia tofauti zikiunganishwa na mtindo mmoja wa maisha ya  kisasa—ushirikiano, ustaarabu na “moder...