Tuesday, February 09, 2010

Wahariri wa Mwananchi wamvaa Spika


Spika wa Bunge, Samuel Sitta (kushoto) akisalimiana na Mhariri wa gazeti la
Mwananchi Jumapili, Daniel Mwaijega na Mhariri wa makala wa Mwananchi,
Rashid Kejo (katikati) walipotembelea Bunge mjini Dodoma jana. Picha na
Edwin Mjwahuzi

No comments:

MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR AMTEMBELEA MHE. FARIDA AMOUR MOH'D HOSPITALINI, AMTAKIA AFYA NJEMA

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla , leo tarehe 21 Mei 2026 amemtembelea na kumjulia hali Mwakilishi wa Viti M...