Tuesday, February 09, 2010

Wahariri wa Mwananchi wamvaa Spika


Spika wa Bunge, Samuel Sitta (kushoto) akisalimiana na Mhariri wa gazeti la
Mwananchi Jumapili, Daniel Mwaijega na Mhariri wa makala wa Mwananchi,
Rashid Kejo (katikati) walipotembelea Bunge mjini Dodoma jana. Picha na
Edwin Mjwahuzi

No comments:

KIKWETE ASEMA MFUKO WA UWEKEZAJI WA FAIDA WAKUA KWA KASI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete akizungumza na Wawekezaji wa Mfuko wa...