Wednesday, February 24, 2010

Maonyesho ya vita vya majimaji



Makamu wa Rais Dk Ali Mohamed Shein kushoto na ujumbe wake, wakiangalia sehemu iliyotumika kunyongewa Machifu wa mji wa Songea katika karne ya 19, wakati walipotembelea kwenye maonesho ya kumbukumbu ya Vita vya Majimaji yanayofanyika kila Mwaka Mkoani Ruvuma juzi.

No comments:

KIKWETE ATEULIWA KUWA MWAKILISHI WA NGAZI YA JUU WA MWENYEKITI WA KAMISHENI YA AU

Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AUC), Mhe. Mahmoud Ali Youssouf, amemteua Rais Mstaafu wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Ki...