Sunday, February 07, 2010

Wiki ya saratani


Meneja huduma ya uuguzi wa Hospitali ya Mission Mikocheni ya jijini Dar es Salaam Valentina Msechu akimuelekeza Lidia Kijoza jinsi ya kujipima mwenyewe saratani ya matiti, hiyo inafanyika ikiwa ni katika wiki ya saratani iliyoanza kuadhimishwa wiki iliyopita. Picha na Mussa Mkama

No comments:

KIPANGULA: WAHITIMU WA HABARI WATAFAIDIKA NA MABORESHO YA KANUNI

  Na Mwandishi Wetu Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amewashauri Waandishi ...