Sunday, February 07, 2010

Wiki ya saratani


Meneja huduma ya uuguzi wa Hospitali ya Mission Mikocheni ya jijini Dar es Salaam Valentina Msechu akimuelekeza Lidia Kijoza jinsi ya kujipima mwenyewe saratani ya matiti, hiyo inafanyika ikiwa ni katika wiki ya saratani iliyoanza kuadhimishwa wiki iliyopita. Picha na Mussa Mkama

No comments:

WAZIRI MKUU: SERIKALI YAENDELEA KUHAKIKISHA MAFUTA HAYAADIMIKI NCHINI

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imeendelea kuchukua hatua mbalimbali kuhakikisha upatikanaji wa mafuta nchini unaendelea ...