Meneja huduma ya uuguzi wa Hospitali ya Mission Mikocheni ya jijini Dar es Salaam Valentina Msechu akimuelekeza Lidia Kijoza jinsi ya kujipima mwenyewe saratani ya matiti, hiyo inafanyika ikiwa ni katika wiki ya saratani iliyoanza kuadhimishwa wiki iliyopita. Picha na Mussa Mkama
Sunday, February 07, 2010
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
🔴🔴TABORA ZOO YAENDELEA KUNG'ARA KAMA KITOVU CHA ELIMU, BURUDANI NA UTALII WA NDANI
Na Mwandishi wetu, Tabora. Bustani ya Wanyamapori Tabora (Tabora Zoo) imeendelea kujipambanua kama kivutio muhimu cha elimu na burudani jiji...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
(Picha na Yahya Charahani) Katika kijiji cha Mwanjoro, wilayani Meatu – Shinyanga, maisha bado yanapumulia kwenye nyumba za udongo na mapaa...
No comments:
Post a Comment