Sunday, February 28, 2010

Wanafunzi nao wamo ktk burudani!!!





Wanafunzi wa shule ya Sekondari ya Neema Trust iliyopo Mbezi jijini Dar es Salaam,wakitumbuiza wageni waalikwa waliohudhuria mahafari ya pili ya kidato cha sita shuleni hapo jijini Dar es Salaam juzi.Picha na Venance Nestory

No comments:

WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AMALIZA ZIARA YA SIKU MOJA MKOANI MBEYA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), leo ameondoka Mkoani Mbeya baada ya kukamilisha zi...