Sunday, February 28, 2010

Wanafunzi nao wamo ktk burudani!!!





Wanafunzi wa shule ya Sekondari ya Neema Trust iliyopo Mbezi jijini Dar es Salaam,wakitumbuiza wageni waalikwa waliohudhuria mahafari ya pili ya kidato cha sita shuleni hapo jijini Dar es Salaam juzi.Picha na Venance Nestory

No comments:

BRELA: VIJANA RASIMISHENI VIKUNDI KUNUFAIKA NA FURSA ZA KIUCHUMI

Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) umewahimiza wanafunzi na wahitimu wa Vyuo Vikuu Nchini kuanzisha, kujiunga na kurasimisha vi...