Sunday, February 28, 2010

Wanafunzi nao wamo ktk burudani!!!





Wanafunzi wa shule ya Sekondari ya Neema Trust iliyopo Mbezi jijini Dar es Salaam,wakitumbuiza wageni waalikwa waliohudhuria mahafari ya pili ya kidato cha sita shuleni hapo jijini Dar es Salaam juzi.Picha na Venance Nestory

No comments:

RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI

  Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...