Monday, January 04, 2016

DG WA PSPF AMTEMBELEA SPIKA OFISINI KWAKE KWA ZIARA YA KIKAZI

SP2Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai akipokea zawadi kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa PSPF Adam Mayingu aliyemtembelea ofisi kwake jijini Dar es Salaam kwa ajili ya mazungumzo.
SP4Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai akiwa na Mkurugenzi mkuu wa PSPF Adam Mayingu alipomtembelea ofisi kwake jijini Dar es Salaam leo tarehe 4 Januari, 2014.
(Picha na Ofisi ya Bunge)

No comments:

VIONGOZI WAKUU WA SERIKALI WAPIGA PICHA YA PAMOJA BAADA YA KIKAO CHA MWISHO CHA BARAZA LA MAWAZIRI AWAMU YA SITA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameongoza kikao cha mwisho cha Baraza la Mawaziri cha Serikali...