Friday, June 12, 2015

WAZIRI WA FEDHA, MHE. SAADA MKUYA AWASILISHA BAJETI KUU YA SERIKALI BUNGENI MJINI DODOMA

01
Waziri wa Fedha, Mhe. Saada Salum Mkuya (Mb) akionyesha Begi la Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2015/16 wakati anawasili katika Viwanja vya Bunge, Mjini Dodoma Juni 11,2015
02
Waziri wa Fedha, Mhe. Saada Salum Mkuya (MB) akiwasilisha bungeni Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2015/16, Mjini Dodoma.

No comments:

Kamati ya Ukaguzi TARURA yakagua Miradi ya ujenzi wa miundombinu ya Barabara mkoani Singinda

#Kukamilika kwa daraja wilayani Manyoni kusaidia usafirishaji wa Samaki na Chumvi Singida Kamati ya Ukaguzi ya Wakala ya Barabara za Vijijin...