Thursday, January 08, 2015

RAIS KIKWETE AMWAPISHA MSAJILI WA MAHAKAMA YA RUFAA

unnamedMsajili wa Mahakama ya Rufaa Bibi Katarina Tengia Revocati akila kiapo mbele ya Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete ikulu jijini Dar es Salaam leo(Picha na Freddy Maro)unnamed1Msajili wa Mahakama ya Rufaa Bibi Katarina Tengia Revocati akipokea vitendea kazi kutoka kwa  Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete mara baada ya kula kiapo  ikulu jijini Dar es Salaam leo(Picha na Freddy Maro)

No comments:

Msajili wa Hazina, Fitch Ratings watathmini mageuzi ya taasisi za umma

Na Mwandishi wa OTR Dar es Salaam. Ofisi ya Msajili wa Hazina (OTR) Jumanne, Agosti 11, 2026, ilifanya mazungumzo na  Fitch Ratings Ltd  amb...