Wednesday, April 02, 2014

Mgombea wa Nafasi ya Ubunge Jimbo la Chalinze Kupitia Chadema Mathayo Torongey Aendelea na Kampeni Za Nguvu

 Katibu wa CCM Kata ya Kimange Bwana Haji aliondoka CCM na kujiunga na CHADEMA huku akikabidhiwa kadi yake na Makamu Mkiti Said Issa Mohamed.

No comments:

MMUYA: WANANCHI WANUFAIKE NA UWEKEZAJI WA NHC KUPITIA NYUMBA ZA GHARAMA NAFUU

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Kaspar Mmuya, amekagua maendeleo ya ujenzi wa mradi wa maghala unaotekelezwa na S...