Monday, April 14, 2014

Muhidin Maalim Gurumo afariki dunia

 
 Muhidini Maalimu Gurumo afariki dunia. 
---
 
NGULI na Shujaa wa muziki wa dansi nchini na Afrika Mashariki, Muhidin Maalimu Gurumo afariki dunia jana baada ya kusumbuliwa na maradhi kwa muda.

Gurumo ambaye aliaga rasmi jukwaa la muziki baada ya kuwa katika tasnia hiyo kama muimbaji kwa miaka 53. Ambapo alianza kazi ya muziki mwaka 1963.

 Gurumo atakumbwa sana kwa nyimbo zake mbalimbali alizoimba akiwa na bendi za Ochersta Safari Sound (OSS), DDC Mlimani Park “Sikinde Ngoma ya Ukae” na Msondo Ngoma 'baba ya Muziki.'

No comments:

WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AMALIZA ZIARA YA SIKU MOJA MKOANI MBEYA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), leo ameondoka Mkoani Mbeya baada ya kukamilisha zi...