Monday, April 14, 2014

Muhidin Maalim Gurumo afariki dunia

 
 Muhidini Maalimu Gurumo afariki dunia. 
---
 
NGULI na Shujaa wa muziki wa dansi nchini na Afrika Mashariki, Muhidin Maalimu Gurumo afariki dunia jana baada ya kusumbuliwa na maradhi kwa muda.

Gurumo ambaye aliaga rasmi jukwaa la muziki baada ya kuwa katika tasnia hiyo kama muimbaji kwa miaka 53. Ambapo alianza kazi ya muziki mwaka 1963.

 Gurumo atakumbwa sana kwa nyimbo zake mbalimbali alizoimba akiwa na bendi za Ochersta Safari Sound (OSS), DDC Mlimani Park “Sikinde Ngoma ya Ukae” na Msondo Ngoma 'baba ya Muziki.'

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...