Tuesday, April 29, 2014

Sikiliza na Pakua Wimbo Maalumu wa Miaka 50 ya Muungano wa Hellow Hellow Tanzaniaaa


Tanzania @ 50 Wimbo Maalumu wa Muungano Utanzania Wetu ni Muungano Wetu, Tuulinde, Tuudumishe na Tuuimarishe 

Wimbo: TUULINDE
 Watunzi: LAMECK DITTO, AMINI MWINYIMKUU
 Watayarishaji: EMA THE BOY, TUDDY THOMAS
 Studio: SURROUND SOUND

 Wasifu wa Wimbo: Wimbo huu maalumu wa Muungano umeimbwa na wasanii 50, kutoka katika mahadhi tofauti tofauti ya muziki kama Bongo Flava, Taarab, Dansi, Hiphop na muziki wa injili. Hii ni mara ya kwanza katika historia ya nchi yetu, wasanii 50 tofauti kuimba wimbo kwa pamoja, na kwa ushirikiano mkubwa, wasanii hawa wanatukumbusha umuhimu wa Muungano ambao ndio utanzania wetu.

 Baadhi ya Wasanii waliohusika Amini Kadjanito Mwasiti Linah Christina Shusho Khadija Kopa Frola Mbasha Ommy Dimpoz Diamond Josse Mara Kalala Jr Ali Kiba Peter Msechu Mrisho Mpoto Abdul Kiba Mzee Yusuph Angel Mwana Fa Nikki Wa pili G Nako God Zilla Madee Asley Shaa Mandojo Domokaya Shilole

No comments: