Wednesday, April 30, 2014

Waziri wa nishati na madini Mheshimiwa Prof. Sospeter Mwijarubi Muhongo ameteua wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kutoka Taasisi zisizo za kiserikali (NGO), Sekta Binafsi na washiriki wa Maendeleo kwa kipindi cha miaka mitatu kuanzia tarehe 1 Aprili, 2014 kama ifwatavyo:-

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA NISHATI NA MADINI
Waziri wa nishati na madini Mheshimiwa Prof. Sospeter Mwijarubi Muhongo (Mb) ameteua wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kutoka Taasisi zisizo za kiserikali (NGO), Sekta Binafsi na washiriki wa Maendeleo kwa kipindi cha miaka mitatu kuanzia tarehe 1 Aprili, 2014.

Majina ya wajumbe walioteuliwa na Taasisi wanazoziwakilisha ni kama ifuatavyo:- Bw. Edmund P. Mkwawa
        Tanzania Banker’s
        Association
ii
Bi Rehema Tukai
        Foundation for Civil
        Society
iii
Bi  Renatha J. Mwageni
        Tanzania Federation
        of Cooperation
iv
Bw. Innocent G. Luoga
        Wizara ya Nishati na
        Madini
 v
Bw. Kalist Luanda
        Ofisi ya Waziri Mkuu –
        TAMISEMI
vi
Bw. Emmanuel M. Tutuba
        Wizara ya Fedha
vii
Dkt Gideon H. Kaunda
        Tanzania Private Sector
        Foundation
vii
Bi Stella Mandago (Observer)
        African Development
        Bank (AfDB)


Wakala wa Nishati Vijijini ulipitishwa kwa Sheria ya Bunge Na. 8 ya mwaka 2005 na uteuzi wa wajumbe hawa umezingatia Sifa muhimu zinazotakiwa kwa wajumbe wa Bodi. Kutokana na kukidhi sifa husika MheshimiwaProf. Sospeter M. Muhongo (Mb) amemteua Bw. Edmund P. Mkwawa kuwa Mwenyekiti wa Wakurugenzi wa Bodi ya Nishati Vijijini

Imetolewa na:

KATIBU MKUU
WIZARA YA NISHATI NA MADINI

No comments: