Baadhi ya washiriki waliofanikiwa kuingia hatua ya pili katika Mashindano ya Kusaka Vipaji vya Uigizaji Tanzania lijulikanalo kama Tanzania Movie Talents wakiwa makini katika kupitia muswada (script) waliopewa na majaji ili waweze kusoma na baadae kuingia mbele ya majaji na kuonyesha vipaji vyao kutokana na muswada (script) waliopewa.
Kikosi Kazi kikiendelea kurekodi matukio yanayoendelea katika Shindano la Kusaka Vipaji Vya Kuigiza Tanzania lijulikanalo kama Tanzania Movie Talents linaloendelea kufanyika Kanda ya Ziwa, Mkoani Mwanza.
No comments:
Post a Comment