Tuesday, April 22, 2014

MOYES ATIMULIWA NA MAN UNITED, GIGGS ACHUKUA MIKOBA YAKE

Aliyekuwa Kocha Mkuu wa Man United, David Moyes.
Kocha wa klabu ya Manchester United David Moyes ametumiliwa. Taarifa zaidi zinakujia hivi punde!


Kocha wa Man Utd, Ryan Giggs kwa sasa.
Mchezaji wa siku nyingi wa Manchester United, Ryan Giggs, amekabidhiwa kwa muda mikoba ya David Moyes aliyetimuliwa kazi leo.

No comments:

NHC YATOA ELIMU YA HATI PACHA, YASISITIZA UMOJA WA WAMILIKI SAMIA HOUSING SCHEME KAWE

 Samia Housing Scheme Kawe: nyumba 560, familia tofauti zikiunganishwa na mtindo mmoja wa maisha ya  kisasa—ushirikiano, ustaarabu na “moder...