Tuesday, April 22, 2014

MOYES ATIMULIWA NA MAN UNITED, GIGGS ACHUKUA MIKOBA YAKE

Aliyekuwa Kocha Mkuu wa Man United, David Moyes.
Kocha wa klabu ya Manchester United David Moyes ametumiliwa. Taarifa zaidi zinakujia hivi punde!


Kocha wa Man Utd, Ryan Giggs kwa sasa.
Mchezaji wa siku nyingi wa Manchester United, Ryan Giggs, amekabidhiwa kwa muda mikoba ya David Moyes aliyetimuliwa kazi leo.

No comments:

WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AMALIZA ZIARA YA SIKU MOJA MKOANI MBEYA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), leo ameondoka Mkoani Mbeya baada ya kukamilisha zi...