
Magari Mapya aina ya Toyota Yakiwa Manispaa ya Kinondoni mara baada ya kukabidhiwa.

Mwonekano wa moja ya gari mpya zilizonunuliwa na manispaa ya Kinondoni

Gari mpya aina ya Landcruiser ikiwa Ofisi ya manispaa ya Kinondoni

Mstahiki Meya Yussuph Mwenda akiongea na Vyombo vya habari mara baada ya kukabidhiwa magari hayo
No comments:
Post a Comment