Tuesday, December 10, 2013

Tanzania Independence Day, at ambassador Meros Residency Geneva



 Katika kuadhimisha Uhuru wa Tanganyika (Tanzania Bara) jana Desemba 9, 2013 ambapo imetimia miaka 52 Balozi wa Tanzania Umoja wa Mataifa hukjo Genever Uswis, Balozi Modest Mero na familia yake walikusanyika nyumbani kwake na watanzania waishio huko katika kusheherekea miaka hiyo 52 ya Uhuru. Fuatilia picha na matukio hayo.
 Watanzania wakimsikiliza Balozi Mero.
 Lulu na mama yake wakipozi. hawa ndio waandaaji wakuu wa shughuli hiyo hapo nyumbani kwa balozi.
 Balozi Modest Mero akikaribisha wageni
 Mke wa Balozi Mero, Bi Rose Mero (kushoto) akikaribisha wageni

 Balozi Mero akiwa na baadhi ya watanzania waishio Genever.



Maakakuli yalikuwa yakitanzania zaidi

No comments:

MAMA NEEMA MWIGULU AHIMIZA TAASISI KUUNGA MKONO JUHUDI ZA SERIKALI KUPITIA UWAJIBIKAJI KWA JAMII

Mwenza wa Waziri Mkuu, Mama Neema Mwigulu Nchemba, amehimiza taasisi za umma na binafsi kuendelea kuunga mkono juhudi za Serikali katika kub...