Wednesday, December 18, 2013

Semina ya viongozi wa Jumuia ya Wazazi ya CCM, wilaya ya Kinondoni yazinduliwa mkoani Morogoro

Katibu wa Itikadi na Uenezi mkoa wa Morogoro, Dorothy Mwamsiku, akifungua semina ya viongozi wa Jumuia ya Wazazi ya CCM, wilaya ya Kinondoni, leo Des 17, 2013, katika hoteli ya Road View, nje kidogo ya Manispaa ya Morogoro. Wengine ni Mwenyekiti wa CCM wilaya hiyo, Salum Madenge na Mwenyekiti wa Wazazi Kinondoni, Charles Mgonja. Picha na Latifa Ganzel
Baadhi ya Wajumbe wakiwa ukumbini kwenyesemina ya viongozi wa Jumuia ya Wazazi ya CCM, wilaya ya Kinondoni, leo Des 17, 2013, katika hoteli ya Road View, nje kidogo ya Manispaa ya Morogoro. Picha na Latifa Ganzel

No comments:

SERIKALI YATOA MAELEKEZO NANE KUIMARISHA KAMPUNI AMBAZO INA UMILIKI HISA CHACHE KUELEKEA DIRA 2050

Arusha. Serikali imetoa maelekezo nane ya kimkakati yanayolenga kuimarisha utendaji wa kampuni ambazo ina umiliki wa hisa  chache, ikiwa ni ...