Friday, December 20, 2013

FRAMES ZA MADUKA ZILIZOPO MIKOCHENI ZINAPANGISHWA


Mahali zilipo:  Kinondoni Mikocheni A, Ziko karibu na nyumba za makazi za TPDC ,
  Zinapakana barabara ya  kuelekea Kwa Mwalimu Nyerere
 Maelezo: Ukubwa  Upana  mita 12 Urefu mita 15 zinaanza kupangishwa Januari 2014 zipo mbili.. Kila Moja inajitegemea.
 Contact: 0786256305,  Kizoka, L.



No comments:

DKT.NCHIMBI AWASILI LUDEWA,MKOANI NJOMBE KUENDELEA NA MIKUTANO YAKE YA KAMPENI

MGOMBEA Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John  Nchimbi, a...