Monday, December 16, 2013

KWELI MANDELA HAKUWA MTU KAWAIDA, MAAJABU YATAWALA KWENYE MAZISHI YAKE, MIZIMU YAONEKANA LIVE MAHALA ALIPOZIKWA!


 Hapa Mwili wa Mandela baada ya kufariki.

 Na Mwandishi wa Xdeejayz-Afrika Kusini

Hatimae Nelson Mandela amepumnzishwa kwenye makao yake ya milele na kimsingi hatutomuona tena hadi siku ya mwisho kwenye ufufuo.
Afrika Kusini na dunia zilikuwa kweye majonzi mazito ya kifo cha shujaa huyo wa karne ambae dunia inamfahamu kwa mambo mema aliyoyafanya.

1 comment:

Unknown said...

Hiyo picha inayomwonyesha marehemu Mandela amefumba macho imekuwa "doctored". Mtu aliyeipiga anasema marehemu Mandela alikuwa hai na alikuwa kwenye mkutano wa ANC. Ni kwamba alifumba macho tu.

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...