Monday, December 16, 2013

KWELI MANDELA HAKUWA MTU KAWAIDA, MAAJABU YATAWALA KWENYE MAZISHI YAKE, MIZIMU YAONEKANA LIVE MAHALA ALIPOZIKWA!


 Hapa Mwili wa Mandela baada ya kufariki.

 Na Mwandishi wa Xdeejayz-Afrika Kusini

Hatimae Nelson Mandela amepumnzishwa kwenye makao yake ya milele na kimsingi hatutomuona tena hadi siku ya mwisho kwenye ufufuo.
Afrika Kusini na dunia zilikuwa kweye majonzi mazito ya kifo cha shujaa huyo wa karne ambae dunia inamfahamu kwa mambo mema aliyoyafanya.

1 comment:

Unknown said...

Hiyo picha inayomwonyesha marehemu Mandela amefumba macho imekuwa "doctored". Mtu aliyeipiga anasema marehemu Mandela alikuwa hai na alikuwa kwenye mkutano wa ANC. Ni kwamba alifumba macho tu.

BILIONI 37.7 ZATIKISA TANGA: TARURA YASUKUMA MAPINDUZI YA BARABARA

MAMLAKA ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) mkoa wa Tanga imepiga hatua kubwa katika utekelezaji wa miradi ya miundombinu ya baraba...