
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Mhe. Joseph S. Warioba mara baaada ya kuwasili katika viwanja vya Karimjee Hall kupokea Rasimu ya Pili ya Katiba. Kulia ni Mhe. Assaa Rashid, Katibu wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba,
Rais Kikwete akisalimiana na Mhe Assaa Rashid, Katibu wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba,

Rais Kikwete akisalimiana na Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe Omar Othman Makungu huku Jaji Mkuu wa Tanzania Bara Mhe Mohamed Chande Othman, Spika wa Bunge la Muungano Mhe Anne Makinda na Spika wa Zanzibar Mhe Pandu Ameir Kificho wakisubiri zamu zao

Rais Kikwete akimuamkia na Rais Mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi

Rais Kikwete akimuamkia Waziri Mkuu Mstaafu Mhe Cleopa David Msuya

Meza kuu

Sehemu ya wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba

Jukwaa kuu la pili

Sehemu ya wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba

Waziri Mkuu Mstaafu Dkt Salim Ahmed Salim akiwa na wajumbe wenzie wa Tume na maofisa wa serikali

Dkt Asha Rose Migiro, Mama Amne Salim na Mama Warioba

Sehemu ya wananchi walioshuhudia tukio hilo la kihistoria

Wananchi wakiwa katika hafla hiyo

Wananchi wakifuatilia hafla hiyo

Watangazaji wa TBC wakiwa kazini kurusha live tukio hilo

Baadhi ya wazee mashuhuri katika hafla hiyo.

Wadau mbalimbali

Wadau katika hafla hiyo

Sehemu ya viongozi wa vyama vya siasa

Wadau wa habari

Wanasheria nguli, Mzee Mark Bomani na Profesa Issa Shivji wakiwa miongoni mwa wadau

Balozi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mhe Alfani Mpango akijumuika na wadau

Baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa na mabalozi

Wadau na maafisa wa serikali

Maafisa wa ofisi wa Masajili wa vyama

Wadau

Wadau na maafisa mbalimbali

Makatibu wakuu

Mawasiri wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar

Mawaziri wa Bara na Zanzibar

Mawaziri, wabunge na maafisa wa serikali

Sehemu ya mawaziri wa bara na wa Zanzibar

Msajili wa vyama vya siasa Jaji Mutungi (wa tatu kushoto) akiwa ameketi na wabunge na viongozi wa vyama mbalimbali

Sehemu ya waliohudhuria hafla hiyo

Meza kuu ikimsikilia Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Mhe. Joseph S. Warioba

Rais Kikwete akimkabidhi Sir George Kahama nakala ya Rasimu ya Pili ya Katiba

Rais Kikwete akiwakabidhi Mzee Hassan Nassoro Moyo na Jenerali Sarakikya nakala ya Rasimu ya Pili ya Katiba

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Ali Mohamed Shein akisoma hotuba yake

Rais Kikwete akihutubia

Wabunge na wadau wengine wakifurahia hotuba ya Rais Kikwete

Rais Kikwete, Rais wa Zanzibar Dkt Ali Mohamed Shein na Makamu wa Rais Dkt Mohamed Ghalib Bilali wakiwapongeza wajumbe wa Tume kwa kazi nzuri

Picha ya pamoja ya viongozi wakuu na wajumbe wa Tume

Picha ya pamoja ya viongozi wakuu, wajumbe wa tume

Viongozi wakuu, viongozi wa vyama vya siasa na wajumbe wa Tume

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akisalimiana na Mhe Tundu Lissu

Wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba

Rais Kikwete akiongea na Mwenyekiti wa CUF Profesa Ibrahim Lipumba na Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi na Mbunge wa Kuteuliwa Mhe James Mbatia

Nikiripoti kutoka hapa katika viwanja vya Karimjee ni mimi.... wa Mlimani TV.Picha Zote na IKULU
No comments:
Post a Comment