Tuesday, December 31, 2013

Sasa Soma Kwa Makini Rasimu Yote Ya Katiba Ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Iliyokabidhiwa Rasmi Kwa Rais Jakaya Kikwete Jijini Dar es Salaam na Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Sinde Warioba

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete akipokea rasmi Rasimu ya Katiba Mpya ambayo itajadiliwa hapo baade na Bunge maalum la Katiba kutoka kwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Sinde Warioba katika Makabidhiano yaliyofanyika viwanja vya Karimjee Jijini Dar es Salaam jana.

No comments:

MIF 2026: Tanzania Yaanza Safari ya Trilioni 1 — Viongozi Wakuu Wakutana Kuweka Ramani ya Uchumi wa Kati wa Juu 2050 🚀

  Dar es Salaam. Serikali imetangaza kuwa Mkutano wa Jukwaa la Wakurugenzi wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Kampuni ambazo Serikali ina hisa c...