Tuesday, December 31, 2013

Tazama Picha ya Mwisho Kupigwa IGP, Said Mwema akiwa ni Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania muda mfupi kabla ya Rais Jakaya Kikwete Kumteua Kamishna wa Polisi Ernest Mangu Kuwa Mkuu Mpya wa Jeshi la Polisi Nchini


Picha juu ndio picha ya Mwisho kupigwa IGP, Said Mwema akiwa ni Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania. Picha hii ilikuwa jana katika Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam.Picha na Mroki Mroki

No comments:

  ‎
Bodi ya Kitaaluma ya Ununuzi na Ugavi (PSPTB), inayofanya kazi chini ya Wizara ya Fedha, imetoa onyo kali kwa watahiniwa wote wa fani ...