Tuesday, December 31, 2013

Tazama Picha ya Mwisho Kupigwa IGP, Said Mwema akiwa ni Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania muda mfupi kabla ya Rais Jakaya Kikwete Kumteua Kamishna wa Polisi Ernest Mangu Kuwa Mkuu Mpya wa Jeshi la Polisi Nchini


Picha juu ndio picha ya Mwisho kupigwa IGP, Said Mwema akiwa ni Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania. Picha hii ilikuwa jana katika Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam.Picha na Mroki Mroki

No comments: