Monday, December 16, 2013

HIVI NDIVYO MAMILIONI YA WATU WALIVYOMZIKA NELSON MANDELA, HATUTAONANA TENA DUNIANI!

Final journey: The coffin carrying former South African President Nelson Mandela is escorted into his state funeral service in Qunu this morning
Jeneza lenye mwili wa Mandela likielekea kwenye eno la mazishi katika kijiji cha Qunu mapema leoGathered to remember Madiba: South Africa's president Jacob Zuma (2nd left), Mandela's ex-wife Winnie Mandela (left), and the widow of Mandela, Graca Machel (3rd left), sit by his coffin
Familia ya Mandela ikiwa mstari wa mbele akiwemo Winnie, Rasi Zuma na Graca Machele wakifuatilia mazishi leo.
United in grief: Mandela's widow Graca Machel, above, and his former wife Winnie, below, arrived holding hands and sat together for the service
Sura za huzuni za Graca Machel (juu) na Winnie (chini) wakiwa mazishini
United in grief: Mandela's widow Graca Machel, above, and his former wife Winnie, below, arrived holding hands and sat together for the service
Traditional: Mandla Mandela right, grandson of former South African president Nelson Mandela, during his grandfather's funeral
Mjukuu wa Madiba, Mandla Mandela(kulia) akiwa mazishini.

Nelson Mandela passed on peacefully in the company of his family on December 5
Nelson Mandela 1918 - 2013
mandela
1483139_563742170368160_40127197_n
Mazishi ya mzee Nelson Mandela ymekwishafanyika katika kijiji cha Qunu katika mkoa wa Eastern Cape na kumaliza wiki moja ya maombolezi ya shujaa huyu wa Afrika mzee Nelson Mandela.
Idadi ya Takribani watu 4,500 wakiwemo wageni wa kimataifa wamehudhuria mazishi hayo ambayo ni ya mchanganyiko wa tamaduni za kale na mambo ya kisasa.
 Familia ya Mandela ilikesha wakijiandaa kwa mazishi ya leo huku kukiwa na muimbaji ambaye atakuwa anaita mizimu ya mababu wa kale huku wakiongelesha mwili wa Mandela kumwambia kuwa sasa anazikwa.

Moja kati ya mataifa yaliyopata heshima ya kuongea mbele ya viongozi mbalimbali duniani ni Rais wa Tanzania mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
Eneo analozikwa mzee Nelson Mandela ni sehemu ya  makaburi yaliyo kwenye shamba kubwa la familia ya Mandela lililoko katika kijiji cha Qunu lililojengwa mara baada ya kuachiliwa kutoka jela mwaka 1990, katika eneo lenye nyasi za kijani , na milima ya Cape ya mashariki.

No comments: