Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Madini la Taifa (STAMICO)Gray Mwakalukwa (kushoto) na Mwenyekiti wa Kampuni ya Madini ya TanzaniaOne(kulia ) Balozi Ami Mpungwe wakibadilishana hati za mkataba wa ubia kuhusu uchimbaji wa pamoja wa madini ya Tanzanite katika kitalu c kwenye eneo la Mererani. Sherehe hizo zilifanyika jana mjini Dar es salaam.
No comments:
Post a Comment