Mwenyekiti
wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Kiongozi wa Kambi ya
Upinzani Bungeni (KUB), Freeman Mbowe akisalimiana na Naibu Waziri wa
Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Goodluck Ole Medeye. Viongozi hao
walikutana juzi eneo la Bomang'ombe, wilayani Hai, kila mtu akiwa katika
ziara yake. Wakati Mbowe alikuwa anaendelea na ziara ya kuzungukia
wananchi latika vijiji mbalimbali jimboni kwake Hai, Medeye alikuwa
katika ziara yake binafsi maeneo ya jimbo hilo.Picha na Chadema
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
TUZINGATIE UTU, SHERIA NA HAKI KATIKA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YA ULINZI WA RASILIMALI ZA TAIFA- DKT KIJAJI
Na. Joyce Ndunguru, Morogoro. Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Dkt Ashatu Kijaji (Mb) amewataka watumishi wa Mamlaka ya Usimamizi wa W...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
(Picha na Yahya Charahani) Katika kijiji cha Mwanjoro, wilayani Meatu – Shinyanga, maisha bado yanapumulia kwenye nyumba za udongo na mapaa...
1 comment:
Its not my first time to pay a visit this web site, i am
visiting this web page dailly and get nice data from here all the time.
My blog post great site
Post a Comment