Wednesday, May 22, 2013

MWANAMITINDO FLAVIANA MATATA ASHIRIKI KUMBUKUMBU YA AJALI YA MV BUKOBA



Mwanamitindo Flaviana Matata akiwasha mshumaa ikiwa ni ishara ya kuomboleza katika makaburi ya Igoma Mwanza walikozikwa baadhi ya wananchi waliopoteza maisha yao miaka 17 iliyopita katika ajli ya MV Bukoba.
 
Flaviana akiwa na marafiki na baadhi ya waombolezaji waliopoteza ndugu zao katika ajali hiyo.…

Mwanamitindo Flaviana Matata akiwasha mshumaa ikiwa ni ishara ya kuomboleza katika makaburi ya Igoma Mwanza walikozikwa baadhi ya wananchi waliopoteza maisha yao miaka 17 iliyopita katika ajli ya MV Bukoba.
 
Flaviana akiwa na marafiki na baadhi ya waombolezaji waliopoteza ndugu zao katika ajali hiyo.
Flaviana Matata akiwa na Baba yake mzazi katika misa ya kumbukumbu ya ajali ya MV Bukoba ambapo Flaviana alimpoteza Mama yake mzazi, Igoma jijini Mwanza.
 
Flaviana akiwa ofisini kwa Projest  Samson Kaija ambaye ni Meneja Mkuu wa Marine Services Company ltd ambao ushirikiana nae katika maombolezo ya ajali hii ambapo kwa mwaka jana aliwapatia msaada wa maboya ya kujiokoa

No comments:

DKT. MWIGULU AWASILI SONGEA KUSHIRIKI IBADA YA KUAGA MWILI WA JENISTA MHAGAMA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Desemba 15, 2025 amewasili mjini Songea mkoani Ruvuma kwa ajili ya...