
Sheha wa Shehia ya Tomondo Wilaya ya
Magharibi Mkoa Mjini Magharibi Bwana Mohd Omar Said { Maarufu Kidevu }
akielezea mkasa uliompata wa kumwagiwa Tindi kali { Acid } mbele ya
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi aliyefika
Hospitali Kuu ya Mnazi Mmoja kumfariji.Picha na Hassan Issa- Ofisi ya
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar
No comments:
Post a Comment