Saturday, May 25, 2013

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Amjulia Hali Sheha wa Shehia ya Tomondo Zanzibar Baada ya Kumwagiwa Tindikali na Watu Wasiojulikana

Sheha wa Shehia ya Tomondo Wilaya ya Magharibi Mkoa Mjini Magharibi Bwana Mohd Omar Said { Maarufu Kidevu } akielezea mkasa uliompata wa kumwagiwa Tindi kali { Acid } mbele ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi aliyefika Hospitali Kuu ya Mnazi Mmoja kumfariji.Picha na Hassan Issa- Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar

No comments:

TANZANIA YAIPONGEZA NORWAY KWA KUENDELEA KUUNGA MKONO MAENDELEO

  Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo, ameipongeza Serikali ya Ufalme wa Norway kwa ...