Saturday, May 25, 2013

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Amjulia Hali Sheha wa Shehia ya Tomondo Zanzibar Baada ya Kumwagiwa Tindikali na Watu Wasiojulikana

Sheha wa Shehia ya Tomondo Wilaya ya Magharibi Mkoa Mjini Magharibi Bwana Mohd Omar Said { Maarufu Kidevu } akielezea mkasa uliompata wa kumwagiwa Tindi kali { Acid } mbele ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi aliyefika Hospitali Kuu ya Mnazi Mmoja kumfariji.Picha na Hassan Issa- Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar

No comments:

RAIS SAMIA APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO KUTOKA KWA BALOZI MPYA WA UHISPANIA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, tarehe 6 Agosti 2025, amepokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi...