Friday, May 31, 2013

BAJETI 2013/14 YA JUMUIYA YA AFRIKA YA MASHARIKI (EAC) YASOMWA LEO UGANDA

 Mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri wa Africa Mashariki kutoka Nchi wanachama wa Jumuiya (EAC) ambaye pia ni Waziri wa Africa Mashariki kutoka Uganda, Shem Bageine (mwenye mkoba wa bajeti)  akiwa na Mawaziri wenzake kutoka Rwanda, Burundi, Tanzania pamoja na Katibu Mkuu wa EAC, Dk. Richard Sezibera  na Naibu Katibu Mkuu anaeshughulika na masuala ya Fedha na Utawala. Leo Bajeti ya Fedha ya mwaka 2013/14 ya Jumuia hiyo imesomwa Bungeni nchini Uganda.
 Mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri wa Africa Mashariki kutoka Nchi wanachama wa Jumuiya (EAC) ambaye pia ni Waziri wa Africa Mashariki kutoka Uganda, Shem Bageine akisoma Bajeti ya Jumuia hiyo leo
Kikao cha Bunge la Jum,uia ya Afrika ya Mashariki kikiendelea nchini Uganda leo.

No comments:

MMUYA: WANANCHI WANUFAIKE NA UWEKEZAJI WA NHC KUPITIA NYUMBA ZA GHARAMA NAFUU

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Kaspar Mmuya, amekagua maendeleo ya ujenzi wa mradi wa maghala unaotekelezwa na S...