Baadhi ya wajumbe wa kikao hicho cha Baraza Kuu la Wafanyakazi wa NHC wakifuatilia kwa karibu mijadala mbalimbali iliyokuwa ikiendelea jijini Tanga kwenye Hoteli ya Tanga Beach Resort. Mkutano huo ulitanguliwa na Semina ya Manunuzi ya Watendaji wa NHC iliyofanyika kati ya May 22 na 25.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba Hamad Abdallah akizungumza na wajumbe wa kikao cha Baraza Kuu la Wafanyakazi wa NHC kilichofanyika Hoteli ya Tanga Beach Resort
Wajumbe wa kikao hicho cha Baraza Kuu la Wafanyakazi wa NHC wakifuatilia kwa karibu mijadala mbalimbali iliyokuwa ikiendelea jijini Tanga kwenye Hoteli ya Tanga Beach Resort
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Goodluck Ole Medeye akifungua kikao cha Baraza Kuu la Wafanyakazi wa NHC kilichofanyika Hoteli ya Tanga Beach Resort.
Baadhi ya wajumbe wa kikao hicho cha Baraza Kuu la Wafanyakazi wa NHC wakifuatilia kwa karibu mijadala mbalimbali iliyokuwa ikiendelea jijini Tanga kwenye Hoteli ya Tanga Beach Resort.
Wajumbe wa kikao hicho cha Baraza Kuu la Wafanyakazi wa NHC wakiwa katika picha ya pamoja kwenye Hoteli ya Tanga Beach Resort.
Wajumbe wakijadiliana
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
TUZINGATIE UTU, SHERIA NA HAKI KATIKA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YA ULINZI WA RASILIMALI ZA TAIFA- DKT KIJAJI
Na. Joyce Ndunguru, Morogoro. Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Dkt Ashatu Kijaji (Mb) amewataka watumishi wa Mamlaka ya Usimamizi wa W...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
(Picha na Yahya Charahani) Katika kijiji cha Mwanjoro, wilayani Meatu – Shinyanga, maisha bado yanapumulia kwenye nyumba za udongo na mapaa...
No comments:
Post a Comment