Friday, May 24, 2013

NIYONZIMA ASAINI YANGA MIAKA 2

 
Haruna Niyonzima (kulia) akiongea na wanahabari (hawapo pichani) wakati akitambulishwa kwao leo. Pembeni ni Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili wa Yanga, Abdallah Bin Kreb.
Kiungo wa Yanga SC, Haruna Niyonzima, amesaini mkataba wa miaka miwili kuichezea klabu hiyo.

No comments:

TUZINGATIE UTU, SHERIA NA HAKI KATIKA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YA ULINZI WA RASILIMALI ZA TAIFA- DKT KIJAJI

  Na. Joyce Ndunguru, Morogoro. Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Dkt Ashatu Kijaji (Mb) amewataka watumishi wa Mamlaka ya Usimamizi wa W...