Friday, May 24, 2013

NIYONZIMA ASAINI YANGA MIAKA 2

 
Haruna Niyonzima (kulia) akiongea na wanahabari (hawapo pichani) wakati akitambulishwa kwao leo. Pembeni ni Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili wa Yanga, Abdallah Bin Kreb.
Kiungo wa Yanga SC, Haruna Niyonzima, amesaini mkataba wa miaka miwili kuichezea klabu hiyo.

No comments:

DKT. MWIGULU AWASILI SONGEA KUSHIRIKI IBADA YA KUAGA MWILI WA JENISTA MHAGAMA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Desemba 15, 2025 amewasili mjini Songea mkoani Ruvuma kwa ajili ya...