Friday, May 24, 2013

NIYONZIMA ASAINI YANGA MIAKA 2

 
Haruna Niyonzima (kulia) akiongea na wanahabari (hawapo pichani) wakati akitambulishwa kwao leo. Pembeni ni Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili wa Yanga, Abdallah Bin Kreb.
Kiungo wa Yanga SC, Haruna Niyonzima, amesaini mkataba wa miaka miwili kuichezea klabu hiyo.

No comments:

Dkt. Salem Al-Junaibi na Ujumbe wake Awasili nchini kwa Ziara ya Kibiashara

Mwenyekiti wa Chama cha Biashara na Viwanda cha Oman Dkt. Salem Al-Junaibi (Mb) na ujumbe wa Wafanyabiashara wa Oman, amewasili nchini leo, ...