Friday, May 17, 2013

Dk Ferdinand Masau wa Tanzania Heart Institue afariki dunia

Dr-Ferdinand-Masau 
Taarifa zilizotufikia zinasema muasisi wa hospitali ya moyo ya Tanzania Heart Institue Dr. Ferdinand Masau amefariki dunia usiku wa kuamkia leo hata hivyo bado tunaendelea kufuatilia taarifa zaidi juu ya msiba huo mkubwa kwa taifa kutokana na umuhimu wa Marehemu Dr. Ferdinand Masau, Tutawaletea taarifa zaidi kadiri tutakavyozipata.
Mungu aiweke mahali pema peponi roho ya marehemu Dr. Ferdinand Masau AMIN

No comments:

MSAJILI WA HAZINA AZINDUA MPANGO MKAKATI WA NMB 2026-2030

Mwandishi wa OMH Dar es Salaam. Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, amezindua Mpango Mkakati wa Muda wa Kati wa Benki ya NMB wa mwaka...