Monday, May 06, 2013

BREAKING NEWS: MAHAKAMA YA RUFAA TANZANIA YAMREJESHEA UBUNGE AESHI HILALY JIMBO LA SUMBAWANGA

Photo: Breaking News:Mahakama ya Rufaa Tanzania imemrejeshea ushindi aliyekuwa mbunge wa Jimbo la Sumbawanga Mjini (CCM) Bwana Aeshi Hilaly dhidi ya mpinzani wake Bwana Norbert Namsebo wa CHADEMA baada ya kubaini mapungufu ya kisheria katika maamuzi yaliyotolewa na mahakama kuu ya Sumbawanga.
Breaking News:
Mahakama ya Rufaa Tanzania imemrejeshea ushindi aliyekuwa mbunge wa Jimbo la Sumbawanga Mjini (CCM) Bwana Aeshi Hilaly dhidi ya mpinzani wake Bwana Norbert Namsebo wa CHADEMA baada ya kubaini mapungufu ya kisheria katika maamuzi yaliyotolewa na mahakama kuu ya Sumbawanga.

No comments:

RAIS MWINYI: SMZ KUIMARISHA MFUMO WA KIDIGITALI KATIKA KUDHIBITI AJALI NA MAKOSA YA BARABARANI

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe.Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali inaendelea kujipanga kuimarisha matumiz...