Friday, May 31, 2013

TANGAZO LA KIFO CHA MZEE MAKWAIA

Marehemu Felician M. Makwaia
Ndugu, CHRISTOPHER MAKWAIA (MK) Anasikitia kutangaza kifo cha Baba yake mzazi Mzee Felician M. Makwaia, kilichotokea jana May 30, 2013 huko Bombay nchini India alikokuwa amekwenda kwa matibabu baada ya 
kupambana kwa muda mrefu na maradhi yaliyokuwa yakimsumbua.

Mipango ya kusafirisha mwili kuurejeshwa nyumbani kwa mazishi inafanyika. Msiba upo nyumbani kwa marehemu Sinza Mori,Jijini Dar es Salaam.

Habari ziwafikie ndugu, jamaa na marafiki popote pale walipo.
Tutaendelea kuwafahamisha hatua kwa hatua ya kiatakachoendelea katika msiba huu mzito.

Kwa mawasilian0 ya aina yoyote piga simu namba
0659 528446

BWANA ALITOA , NA BWANA AMETWAA
JINA LAKE NA LIHIMIDIWE

AMIN

No comments:

MSAJILI WA HAZINA AZINDUA MPANGO MKAKATI WA NMB 2026-2030

Mwandishi wa OMH Dar es Salaam. Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, amezindua Mpango Mkakati wa Muda wa Kati wa Benki ya NMB wa mwaka...