Thursday, May 02, 2013

NHC yachangamsha michuano ya Bonanza la michezo ya Mei Mosi

Nahodha wa Timu wa timu ya soka ya Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Saidi Bungara akijaribu kumkabili beki wa  DHL kwenye viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam leo (Mei Mosi). Michezo hiyo ya Bonanza iliyashirikisha mashirika na taasisi mbalimbali nchini. NHC katika mchezo huo ilitoka sare ya mabao 2-2.
Beki wa NHC Andrew Rugarabamu akijaribu kumkabili mshambuliaji wa wa  DHL kwenye viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam leo (Mei Mosi) . Michezo hiyo ya Bonanza iliyashirikisha mashirika na taasisi mbalimbali nchini. NHC katika mchezo huo ilitoka sare ya mabao 2-2.


 Mlinda Mlango Anafi Mwambe wa timu ya soka ya Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) akipangua mpira kutoka langoni kwake katika mchezo wa Bonanza wa NHC dhidi ya DHL kwenye viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam leo (Mei Mosi). Michezo hiyo ya Bonanza iliyashirikisha mashirika na taasisi mbalimbali nchini. NHC katika mchezo huo ilitoka sare ya mabao 2-2.


No comments:

DKT. MWIGULU AWASILI SONGEA KUSHIRIKI IBADA YA KUAGA MWILI WA JENISTA MHAGAMA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Desemba 15, 2025 amewasili mjini Songea mkoani Ruvuma kwa ajili ya...