Thursday, May 02, 2013

NHC yachangamsha michuano ya Bonanza la michezo ya Mei Mosi

Nahodha wa Timu wa timu ya soka ya Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Saidi Bungara akijaribu kumkabili beki wa  DHL kwenye viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam leo (Mei Mosi). Michezo hiyo ya Bonanza iliyashirikisha mashirika na taasisi mbalimbali nchini. NHC katika mchezo huo ilitoka sare ya mabao 2-2.
Beki wa NHC Andrew Rugarabamu akijaribu kumkabili mshambuliaji wa wa  DHL kwenye viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam leo (Mei Mosi) . Michezo hiyo ya Bonanza iliyashirikisha mashirika na taasisi mbalimbali nchini. NHC katika mchezo huo ilitoka sare ya mabao 2-2.


 Mlinda Mlango Anafi Mwambe wa timu ya soka ya Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) akipangua mpira kutoka langoni kwake katika mchezo wa Bonanza wa NHC dhidi ya DHL kwenye viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam leo (Mei Mosi). Michezo hiyo ya Bonanza iliyashirikisha mashirika na taasisi mbalimbali nchini. NHC katika mchezo huo ilitoka sare ya mabao 2-2.


No comments:

WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA BELARUS AWASILI NCHINI KWA ZIARA YA KIKAZI

  Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Belarus, Mheshimiwa Maxim Ryzhenkov, amewasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku tatu kuanzia Aprili...