Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa, Raymond Mndolwa wa Tawala na Uendeshaji wa Mikoa na Hamad Abdallah wa Usimamizi wa Miliki wakitafakari jambo nje ya ukumbi wa Bunge kabla ya kuingia ndani ambapo bajeti ya Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi.
Meneja wa NHC mkoa wa Dodoma, Itandula Gambalagi na Hamad Abdallah, Mkurugenzi wa Usimamizi wa Miliki na Raymond Mndolwa wa Tawala na Uendeshaji wa Mikoa pamoja na Meneja Huduma kwa Jamii wa NHC, Muungano Kasibi Saguya wakitafakari jambo nje ya ukumbi wa Bunge kabla ya kuingia ndani ambapo bajeti ya Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi.
Katibu Mkuu wa Chama cha Wapangaji Tanzania (TTA), Ndumey Mukama, akizungumza jambo na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi , Profesa Anna Tibaijuka, wanaoshuhudia ni Muungano Saguya na Hermes Mutagwaba wa NHC.
Wednesday, May 29, 2013
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS MWINYI: SMZ KUIMARISHA MFUMO WA KIDIGITALI KATIKA KUDHIBITI AJALI NA MAKOSA YA BARABARANI
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe.Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali inaendelea kujipanga kuimarisha matumiz...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
No comments:
Post a Comment