Wednesday, May 29, 2013

NHC bungeni Dodoma

Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa, Raymond Mndolwa wa Tawala na Uendeshaji wa Mikoa na Hamad Abdallah wa Usimamizi wa Miliki wakitafakari jambo nje ya ukumbi wa Bunge kabla ya kuingia ndani ambapo bajeti ya Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi.

Meneja wa NHC mkoa wa Dodoma, Itandula Gambalagi na Hamad Abdallah, Mkurugenzi wa Usimamizi wa Miliki na Raymond Mndolwa wa Tawala na Uendeshaji wa Mikoa pamoja na Meneja Huduma kwa Jamii wa NHC, Muungano Kasibi Saguya wakitafakari jambo nje ya ukumbi wa Bunge kabla ya kuingia ndani ambapo bajeti ya Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi.
 

Katibu Mkuu wa Chama cha Wapangaji Tanzania (TTA), Ndumey Mukama, akizungumza jambo na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi , Profesa Anna Tibaijuka, wanaoshuhudia ni Muungano Saguya na Hermes Mutagwaba wa NHC.

No comments:

MSAJILI WA HAZINA AZINDUA MPANGO MKAKATI WA NMB 2026-2030

Mwandishi wa OMH Dar es Salaam. Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, amezindua Mpango Mkakati wa Muda wa Kati wa Benki ya NMB wa mwaka...